Kifo Kisimani
By
Kithaka Wa Mberia
Book Summary:
Tamthilia ya Kifo Kisimani imeandikwa na kithaka wa Mberia. Toleo la kwanza la kitabu hiki ililikuwa mwaka wa 2001 na kina chapa nyingi hadi kufikia mwaka wa 2009.kimechapishwa na Marimba Publications Ltd.