Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine
By
Alifa Chokocho
Book Summary:
Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyngine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zilizoandikwa na waandishi waliobobea na wale wanaochipuka katika uandishi wa utanzu wa hadithi fupi. Hadithi katika mkusanyo huu zimeandikwa kwa ubunifa na kwa kuzingatia maswala ibuka katika jamii inayokwenda na utandawazi na usasaleo.